Pichani ni baadhi ya wachezaji wa man united wakipongezana baada ya J. Park kufunga gori la pili ambalo liliondoa kabisa matumaini ya ushindi kwa wana Chelsea na hivyo kufanya machester united kutinga hatua ynusu fainali.Kwa habari zaidi na picha tembelea man u website;bofya hapa
Showing posts with label sports. Show all posts
Showing posts with label sports. Show all posts
Wednesday, 13 April 2011
Saturday, 9 April 2011
MANCHESTER UNITED YAZIDI KUPAA KILELENI MWA LIGI YA UINGEREZA!!
MAN U 2-FULHAM 0
Aaron Hughes baadae akaokoa krosi iliyochongwa na Nani na ukampitia Antonio Valencia, aliyefunga kwa kichwa na kuipatia Manchester United bao la pili.
Tomasz Kuszczak mlinda mlango wa Manchester United alifanya kazi nzuri kuokoa mkwaju wa Eidur Gudjohnsen aliyeingia kipindi cha pili, huko mlinda mlango wa Fulham Mark Schwarzer naye akainyima Manchester United kwa kuokoa mkwaju wa Darron Gibson.
Kwa matokeo hayo sasa Manchester United wanazidi kuongoza kwa kujikusanyia pointi 69.BBC
Saturday, 2 April 2011
Man utd came from behind to win over West Ham!!
West Ham 2 United 4
Wayne Rooney struck a stunning second-half hat-trick as United roared back from 2-0 down to claim a pulsating Barclays Premier League win at Upton Park.Mark Noble converted a pair of first-half penalties for West Ham to seemingly deal the Reds’ title hopes an untimely setback. United had bossed the match despite Noble’s double, however, and deservedly overturned the scoreline in the second period.
Rooney curled home a magnificent long-range free-kick, thundered in a superb leveller and converted a penalty in a breathless 15-minute spell, before substitute Javier Hernandez turned home a late clincher to cap another rousing fightback from the Reds.
Watching from the stands in the second instalment of his touchline ban, Sir Alex Ferguson will again wonder how his side insist on putting all their followers through the wringer, before switching his attention to Wednesday’s Champions League trip to Stamford Bridge.
With the visit to Chelsea looming, Nani, Dimitar Berbatov and Chicharito all started on the bench, while Edwin van der Sar was a precautionary absentee with a minor groin injury. Sir Alex's defensive selection was preordained, with Wes Brown, John O’Shea and Rafael all injured and Jonny Evans starting his three match ban. Fabio and Patrice Evra started at full-back, flanking a central-defensive partnership of Chris Smalling and Nemanja Vidic.
source;www.manutd.com
Subscribe to:
Posts (Atom)

