To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com                                                 To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com

Wednesday 27 April 2011

Ngoma ya Wanyakusa!!


                                 
Hebu siku ya leo tujikumbushe Asili zetu   kila mmoja anapoiangalia video hii na avute hisia za ngoma ya kwao.Hao ni wanyakyusa wakicheza ngoma maarufu Mkoani Mbeya inayojulikana kama Ligoma. Kuna faida mbalimbali ambazo zinatokana na kuchezwa kwa ngoma hizi kwa mfano ushirikiano,upendo na pia burudani kwa jamii husika.Haya wadau kazi kwenu burudani hiyo na wewe kama unayo ya kwenu na unataka iwekwe hapa kibarazani basi usisite kunitumia kwa email hii; maishablog@yahoo.com                                                    

2 comments:

Mija Shija Sayi said...

Kaka hebu tafuta na Bugobogobo ya wasukuma uone ufundi wa kucheza na majembe..

Rachel Siwa said...

Nami naisubiri kwa hamu hiyo nione huo ufundi wa Kisukuma!!!