To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com                                                 To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com

Friday 15 April 2011

ZAMA ZA TIBA YA KIKOMBE ZAENDELEA!!!SASA NI SINGIDA.

Babu mchungaji mstaafu Ambilikile Masapila wa kijiji cha Samunge wilaya ya Loliondo mkoani Arusha, anazidi kupata changamoto zaidi baada ya mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya kata ya Mungumaji manispaa ya Singida Zubeda Nasoro (19) kutangaza kwamba ameoteshwa na Mwenyezi Mungu dawa ya kutibu magonjwa sugu matano.
Soma zaidi;MOBLOG

No comments: