To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com                                                 To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com

Saturday 9 July 2011

MHESHIMIWA SUGU ATIWA MBARONI JIJINI

Mh Joseph Mbilinyi
Habari kutoka jijini Mbeya zinasema kuwa mbunge mh.Joseph Mbilinyi ametiwa mbaroni na polisi kwa mahojiano zaidi hapo jana tarehe 8 huku taarifa za awali zikihusishwa kukamatwa kwake na maandalizi ya tamasha bila vibali halali vya polisi.Hata hivyo kamanda wa polisi wa mkoa wa Mbeya amesisitiza kuwa taratibu zote za kisheria zitafuatwa na dhamana ipo wazi wakati wowote.

No comments: