Waziri Wizara yaMaendeleo ya Mifungo - Dk. Mathayo David Mathayo akifunga maonyesho ya kilimo nyanda za juu Kusini jijini Mbeya kwenye kiwanja John Mwakangale
Waziri David Mathayo akipokea maandamano wa kwanza kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Mbeya
Maandamano yakiwa yanaingia viwanja vya nane nane
Waziri akipata maelezo toka kwa mkuu wa wilaya Mbeya Evance Balama alipotembelea bada la halmashauri ya wilaya ya Mbeya
Umati mkubwa wa wananchi waliohudhuria maonyesho ya kilimo nane nane nyanda za juu kusini Mbeya
Baadhi ya watumishi wa wakishurahia na kupokea vyeti vyao vya ushindi katika mabanda Bora katika maonesho hayo ya Nane Nane
Baadhi ya wateja wakipata maelezo katika banda la Vodacom
Mzee kyando wa kikundi cha huzuni cha baba wa taifa alikuwepo
Kama kawaida wachina hawakukosa eneo hili kuchemkia biashara ya maua
Picha na mbeya yetu
No comments:
Post a Comment