To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com                                                 To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com

Monday 17 October 2011

AJALI ZAENDELEA KULIANDAMA JIJI LA MBEYA...



 Ajali ya gari ambayo hufanya ruti ya kusafirisha abiria kutoka Mwanjelwa jijini Mbeya mpaka mji mdogo wa Mbalizi wilaya ya Mbeya vijijini,  ambayo imetokea mteremko wa Mbalizi ambapo zaidi ya abiria Thelathini wamenusurika kifo, baada ya gari kushindwa kupandisha mlima hali iliyopelekea kupinduka. Tukio hili limetokea siku ya Jumapili.
Baada ya kupinduka kwa gari hiyo ambayo hufanya tuti ya kusafirisha abiria kutoka Mwanjelwa jijini Mbeya hadi Mji mdogo wa Mbalizi wilaya ya Mbeya vijijini hatimaye lilinusurika kutumbukia bonde la mtoni Mbalizi yukio lililotokea siku ya Jumapili.

Jeshi la polisi Usalama barabarani Mbeya mnapaswa kufanya uchunguzi wa kina ili kuweza kubaini magari yenye karoso kwa lengo la kuepukana na ajali zisizokuwa za lazima

No comments: