To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com                                                 To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com

Sunday 8 April 2012

VIONGOZI MBALIMBALI WA VYAMA NA SERIKALI WAOMBOLEZA MSIBA WA MSANII WA FILAMU NCHINI STEVEN KANUMBA

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr Jakaya kikwete akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Steven Kanumba
 Mbunge wa jimbo la kinondoni Mh Iddi Azani akisaini kitabu cha maombolezo.
 Mke wa waziri mkuu mama Tunu Pinda naye akitia saini kitabu cha wageni.
Mtoto wa rais bwana Ridhwan Kikwete naye pia akitia saini kwenye kitabu cha maombolezo kwenye msiba wa Kanumba.
picha zote kwa hisani ya michuzi

No comments: