To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com                                                 To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com

Wednesday 8 August 2012

NDEREMO NA VIFIJO SIKU YA TAREHE 4/08/2012

 Mdau Raymond na Bibie Janeth wakiwa kanisani tayari kula viapo vyao vya ndoa hadi kifo kiwatenganishe...
 Hapa ni baada ya viapo na sasa ni mr and mrs Mkandawile
 Maharusi wakiteta jambo baada ya kunganishwa na kuwa mwili mmoja
 Bwana na bibi Harusi wakiwa nanyuso za furaha...
Maharusi na wapambe wao wakiwa kwenye picha ya pamoja

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

Blog ya Maisha na Mafanikio inapenda kuwatakieni maisha mema ya NDOA na pia kuwakaribisheni katika maisha haya ya Ndoa. Ambayo yanahitaji UVIMILIVU NA USIKIVU PIA MAWASILIANO. MAISHA MEMA/HONGERENI SANA.