To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com                                                 To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com

Saturday 9 April 2011

MANCHESTER UNITED YAZIDI KUPAA KILELENI MWA LIGI YA UINGEREZA!!

MAN U 2-FULHAM 0

Alikuwa Dimitar Berbatov aliyefunga bao la kwanza baada ya chenga za Nani na akampasia na bila ajizi akafunga bao maridadi.
Aaron Hughes baadae akaokoa krosi iliyochongwa na Nani na ukampitia Antonio Valencia, aliyefunga kwa kichwa na kuipatia Manchester United bao la pili.
Tomasz Kuszczak mlinda mlango wa Manchester United alifanya kazi nzuri kuokoa mkwaju wa Eidur Gudjohnsen aliyeingia kipindi cha pili, huko mlinda mlango wa Fulham Mark Schwarzer naye akainyima Manchester United kwa kuokoa mkwaju wa Darron Gibson.
Kwa matokeo hayo sasa Manchester United wanazidi kuongoza kwa kujikusanyia pointi 69.BBC

No comments: