To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com                                                 To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com

Sunday 8 May 2011

Manchester utd waukaribia ubingwa!!!

Timu ya Manchester United maarufu kama Red Devils leo wameifunga timu pinzani ya Chelsea magori mawili kwa moja,ushindi huo sasa unawafanya Man Utd kuhitaji point moja tu ili kuwa mabingwa wapya wa premier  league ubingwa ambao ulichukuliwa na Chelsea msimu uliopita. Hebu pata habari na picha zaidi kwa; kubonya hapa

No comments: