To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com                                                 To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com

Friday 3 June 2011

BOMOA BOMOA JIJINI MBEYA KUPISHA UJENZI SOKO LA KISASA...



Baadhi ya taswira zinazo onyesha operation bomoa inayoendelea jijini mbeya ili kupisha ujenzi wa soko jipya na kisasa eneo la uhindini. Tunapenda kuipongeza serikali kwa uamuzi huo wa busara na wa kimaendeleo.....
picha toka sauti ya baragumu blog

2 comments:

emu-three said...

Ondoa maenedeleo ya mtu kwa maendeleo ya watu...inafaa sasa miji kuwa na ramanii za kudumu, ili watu waelewe wapi wajenge na wapi wasijenge

Raymond Mkandawile said...

Ni kweli kabisa ndugu mdau....tubahitaji sana mabadiliko kwenye jiji letu la mbeya.....nawapongeza viongozi kwa uamuzi huo wa busara..