Soko la mwanjelwa eneo la sido mbeya lawaka moto chanzo mapaka sasa hakijajulikana |
Moto mkubwa ukiendelea kuwaka |
Baadhi ya mabanda sokono hapo tayari yameteketea kabisa na moto |
Kama kawaida kikosi cha zimamoto mbeya kimeendelea na maigizo yake ya kuja kwenye tukio na gari bovu hapa wanaonekana askari wa kikosi hicho wakibishana huku moto ukiendelea |
Kufa kufaana kibaka tayari ameshaiba huyooo anatimka |
Dada nae hayuko nyuma katika wizi keshachukua kapeti |
Umati wa watu ukiwa unaangalia soko linavyoteketea |
Mama huyu akilia kwa uchungu akiangalia duka lake likiteketea kwa moto |
Hii ni hatari PICHA ZOTE NA MBEYAYETU BLOG |
No comments:
Post a Comment