To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com                                                 To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com

Monday 3 October 2011

CCM KIDEDEA UBUNGE JIMBONI IGUNGA ....

DR KAFUMU MBUNGE MPYA....
Msimamizi wa uchaguzi Protace Magayane akimpongeza Dk. Kafumu baada ya kumtangaza na kumkabidhi cheti cha ushindi wa ubunge

Dk. Kafumu akisaini matokeo.Kushoto ni Msimamizi wa Uchaguzi Igunga, Protace Magayane
Katibu Mkuu wa CCM Mukama akimshika Dk. Dalaly wakati matokeo takitangazwa
Protace Magayane akitangaza matokeo
Dk. kafumu akipongezwa na mkewe wake, Maria Magdalena Kafumu
Hali ya upigaji kura
Fomu ya washindi

Picha zote na Bashir Nkoromo

No comments: