To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com                                                 To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com

Sunday 16 October 2011

MNUSO WA ENGAGEMENT WA KAKA ALINI NA DADA AGNESS!!!

 Kaka ALini akimvisha pete ya uchumba ampendae dada Agness kudhihirisha uaminifu wao
 Dada Agness akifurahia pete yake baada ya kuvishwa na ampendae
 Sherehe ilikamilishwa na keki ambayo wawili hawa walikata na kufurahia kwa pamoja
Bwana harusi mtarajiwa akijiandaa kumlisha keki mtarajiwa wake bi Agness
 Mwandishi wa blog hii bwana Mkandawile akilishwa keki kwenye sherehe hiyo
Wawili wakifurahia baada ya kuvalishana pete na kufuatiwa na mnuso wa kukata na shoka.

No comments: