| Kaimu katibu tawala wilyaya ya Mbeya Geofrey Anania akihutubia wananchi wa jiji la mbeya siku ya ukimwi duniani |
| Daktari wa watoto toka hospital ya rufaa mbeya Dr. Brenda Anosike akielezea jinsi ya kuwatunza watoto waliyopata maambukizi ya ukimwi |
| Baadhi ya wananchi na wafanyakazi wa jiji la mbeya wakimsikiliza mgeni rasmi |
| Moja wa waadhirika wa ugonjwa wa ukimwi dada Tabia akielezea jinsi wananchi wanavyo wanyanyasa wagonjwa wa ukimwi |
| Afisa mtendaji kata ya ilomba akipokea boksi la kondom toka kwa mgeni rasmi |
| Mwanafunzi wa shule ya msingi sisimba Atuganile akiimba huku akitoa machozi kuwakumbuka waliyokufa kwa ugonjwa wa ukimwi |
| Wanafunzi wa shule ya msingi wakiimba kwa huzuni wimbo wa kuwakumbuka waliokufa kwa ukimwi |
| Katika maadhimisho haya watoto ndiyo waliyotawala uwanjani hapo toka mbeyayetublog |
No comments:
Post a Comment