To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com                                                 To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com

Thursday 22 December 2011

PICHA NA MATUKIO YA MAFURIKO NA MADHARA YAKE JIJINI DAR


Hii ndio hali halisi kwa wakazi wa eneo la Jangwani leo mara baada ya mvua kubwa kuendelea kunyesha jijini Dar es Salaam leo na kuyafanya makazi ya wakazi wa eneo hili kuwa namna hii kama zinavyoonyesha picha hizi.
Mmoja wa wakazi wa eneo hilo akijaribu kupita kwenye maji hayo ili afike barabari kwa kujiokoa na mafuriko hayo.
Nyumba zote zimezungukwa na maji huku mengine yakiwa yamejaa ndani ya nyumba hizo.








Wengi walilazimika kutembea kwa miguu leo kwani hakuku na gari iliyokuwa ikiruhusiwa kupita katika eneo la Jangwani leo.
Wananchi wakisaidiana kushusha mtumbwi katika eneo la jangwani tayari kwa kazi ya kuokoa waliokwama kwenye mafuriko hayo.
Gari la wagonjwa likipita huku na kule kuona kama kuna yeyote anaehitaji msaada.

Picha kwa hisani ya michuzi....

No comments: