To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com                                                 To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com

Saturday 15 January 2011

News update;Waziri mkuu atembelea UDOM!!

Leo waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh Mizengo Pinda ametembelea chuo kikuu cha Dodoma maalufu kama UDOM ili kuzungumza na wanafunzi pamoja na wafanya kazi katika kutafuta suruhu ya migogoro inayolindima chuoni hapo kwa takribani wiki mbili sasa. Endelea kuwa nami habari kamili itafuata baadae....

No comments: