To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com                                                 To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com

Tuesday 29 March 2011

Waziri wa afya wa Kenya aja na mpya!!Ataka huduma ya Babu Loliondo isitishwe na yeye akamatwe....

Hebu angalia video hii umsikie huyu waziri wa afya nchini Kenya na maoni yake juu ya huduma ya babu kule Loliondo kisha toa maoni yako wewe unalionaje hili je yupo sahihi kuwa huduma hii ifungwe?
Na je hoja ya waziri huyu wa Kenya ni ipi watu kupita njia za panya kuja kwa babu au ni tiba inayotolewa na babu?
Toa maoni yako baada ya kuingalia video hii.

No comments: