To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com                                                 To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com

Friday 17 June 2011

MCHANA MWEMA WADAU!!!


5 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Mchana mwema nawe pia...Labda niulize kidogo au sijui tu nianze kuvaa miwani..maana hapo naona ugali, ndizi, nahisi ni mboga majani na hicho kingine ni nini?

Yasinta Ngonyani said...

Nawe pia! naona ugali, mboga majani kidogo ndizi, lakini hicho kingine sijui ni mboga mboga au mchuzi wa nini...ila nimepata tamaa kweli....

Goodman Manyanya Phiri said...

tantalizing food, indeed!

maishablog said...

Da Yasinta hapo kuna Ugali maini ya kuku yaliyo changanywa na rost mchuzi,mboga za majani na ndizi....i real enjoy the meal i fealt like home(Tanzania)

maishablog said...

Thanks kaka Phiri,it was indeed..