| Mara baada ya ajali hiyo dereva alikimbia hajulikani alipo |
| Huwezi amini hii gari imeingiaje hapa kwakweli madereva kuweni makini barabarani pombe ni hatari ukiona umelewa acha kuendesha gari |
| Baadhi ya wananchi wakiangalia gari iliyotumbukia darajani mama john jijini mbeya..Picha kwa hisani ya Mbeya yetu blog |
No comments:
Post a Comment