To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com                                                 To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com

Tuesday 29 November 2011

SOKO LA KISIMANI MJI MDOGO WA TUNDUMA LILIVYOTEKETEA KWA MOTO



Vibanda vilivyokuwa vimejengwa kwa mbao vimeteketea na kubakia masalia ya mabati yaliyotumika kuezekea vibanda hivyo katika Soko la Kisimani lililopo mji mdogo wa Tunduma, wilaya ya mpya ya Momba mkoani Mbeya, jana kuanzia majira ya Saa 10 jioni na kusababisha hasara kubwa ambapo vibanda vya biashara na maduka yameteketea kwa moto huo.
Kijana mmoja aliyevalia mwenye fulana ya Bluu akiwa amekamatwa wakati akijaribu kutorosha baadhi ya mali zilizokolewa katika moja ya maduka yaliyoteketea kwa moto katika soko la Kisimani lililopo mji mdogo wa Tunduma, wilaya ya mpya ya Momba mkoani Mbeya , jana kuanzia majira ya Saa 10 jioni na kusababisha hasara kubwa ambapo vibanda vya biashara na maduka yameteketea kwa moto huo.
Baadhi ya wafanyabiashara wakiwa wamebeba mizigo ya mali zao mara baada ya kufanikiwa kuokoa mali zao katika Soko la Kisimani lililopo mji mdogo wa Tunduma, wilaya ya mpya ya Momba mkoani Mbeya lililoteketea kwa moto hapo jana kuanzia majira ya Saa 10 jioni na kusababisha hasara kubwa ambapo vibanda vya biashara na maduka yameteketea kwa moto huo.
Baadhi ya wafanyabiashara wakipakia mizigo ya mali zao katika gari mara baada ya kufanikiwa kuokoa mali zao katika Soko la Kisimani lililopo mji mdogo wa Tunduma, wilaya ya mpya ya Momba mkoani Mbeya lililoteketea kwa moto hapo jana kuanzia majira ya Saa 10 jioni na kusababisha hasara kubwa ambapo vibanda vya biashara na maduka yameteketea kwa moto huo.
Askali wa kampuni ya Ulinzi akitizama mali iliyookolewa katika moja ya maduka ambapo wananchi waligombania mali hizo na kuzichukua wakati Soko la Kisimani lililopo mji mdogo wa Tunduma, wilaya ya mpya ya Momba mkoani Mbeya likiendelea kuteketea kwa moto hapo jana kuanzia majira ya Saa 10 jioni na kusababisha hasara kubwa ambapo vibanda vya biashara na maduka yameteketea kwa moto huo.
Mbao zilizokuwa zimetumika kujengea vibanda vya biashara zikiwa zimevunjwa ikiwa ni moja ya njia ya kudhibiti moto kutoendelea kuteketeza vibanda, maduka na mali za wafanyabiashara katika soko la soko la Kisimani lililopo mji mdogo wa Tunduma, wilaya ya mpya ya Momba mkoani Mbeya lililoteketea kwa moto hapo jana kuanzia majira ya Saa 10 jioni na kusababisha hasara kubwa ambapo vibanda vya biashara na maduka yameteketea kwa moto huo.
Pichani ni duka ni moja wapo ambalo halikuweza kuteketea kwa moto, ambapo ukitazama juu ya paa Paka aliyekuwa na rangi Nyeusi hakuweza kutoweka hapo, licha wa moto kuendelea kuteketeza maduka na vibanda vya biashara katika soko la Kisimani lililopo mji mdogo wa Tunduma, wilaya ya mpya ya Momba mkoani Mbeya lililoteketea kwa moto hapo jana kuanzia majira ya Saa 10 jioni na kusababisha hasara kubwa ambapo vibanda vya biashara na maduka yameteketea kwa moto huo.
Magari ya kampuni ya Ujenzi wa barabara ya Tunduma mpaka Sumbawanga yalifika kutoa msaada wa kudibiti moto katika Soko la Kisimani lililopo mji mdogo wa Tunduma, wilaya ya mpya ya Momba mkoani Mbeya lililoteketea kwa moto hapo jana kuanzia majira ya Saa 10 jioni na kusababisha hasara kubwa ambapo vibanda vya biashara na maduka yameteketea kwa moto huo.
Gari la zimamoto likiwasili eneo la tukio kudhibiti moto kutoendelea kuteketeza maduka, vibanda vya biashara na bidhaa katika soko la Kisimani lililopo mji mdogo wa Tunduma, wilaya ya mpya ya Momba mkoani Mbeya lililoteketea kwa moto hapo jana kuanzia majira ya Saa 10 jioni na kusababisha hasara kubwa ambapo vibanda vya biashara na maduka yameteketea kwa moto huo.
Mkuu wa wilaya ya Mbozi Bwana Gilbert Kimolo(mwenye suti ya rangi ya kijivu) akiwa katika hekaheka za kutaka kushuhudia soko la Kisimani lililopo mji mdogo wa Tunduma, wilaya ya mpya ya Momba mkoani Mbeya lililoteketea kwa moto hapo jana kuanzia majira ya Saa 10 jioni na kusababisha hasara kubwa ambapo vibanda vya biashara na maduka yameteketea kwa moto huo.
Mzee huyu alishikwa na bumbuwazi la kutoamini duka lake likiteketea kwa moto ambapo hivi karibuni aliingiza mzingo wa bidhaa kutoka jijini Dar es salaam uliogharimu shilingi milioni Ishirini.
Toka mbeya yetu blog

2 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Poleni sana kwa wote walioathirika...sijui hii ni nini jamani?

Raymond Mkandawile said...

dada Yasinta hapa nadhani kuna siri kubwa sana kwanini masoko ya jiji moja tu ndiyo yapatwe na dhahama hiyo?Japo cha kusikitisha ni kwamba wanaoumia ni watu wa chini na wasio na hatia kabisa....