To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com                                                 To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com

Sunday 22 May 2011

MAFANO WA CHUI WALETA BALAA LONDON!!

Pichani ni mfano wa chui lililokuwa limetelekezwa barabarani katika maeneo ya southapton nchini Uingereza. Mdoli hu umepelekea watu waliouona kuita polisi ambao pia waliita kikosi maalumu cha wanyama poli, na kikosi cha askali wa anga wanaotumia helkopta ili kudhibiti mnyama huyo. Baada ya kazi ya mda mrefu na kupoteza ghalama nyingi ndipo walipogundua kuwa ilikuwa si chui bali na mdoli aliyetelekezwa barabarani hapo. Hadi sasa bado hajapatikana mmiliki halali wa mdoli huo na umechukuliwa na polisi kama mali isiyo na mwenyewe.

2 comments:

Goodman Manyanya Phiri said...

duniani kunamambo!

Elias said...

daaa so wamejiaandaje kuwakabili?