To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com                                                 To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: maishablog@yahoo.com

Thursday 2 June 2011

WADAU TULIOPITIA HAPO MPOOOOO!!


4 comments:

Goodman Manyanya Phiri said...

Mwiko kusahau unakotoka!

Raymond Mkandawile said...

Ni kweli kaka Manyanya msahau kwao ni mtumwa...wahenga walisema.

John Mwaipopo said...

hapo mimi nilipita getini tu, ndani sijawahi fika. miaka minne nilipita hapo kutoka bus stand kuu baada ya kushuka kutoka katika daladala kwenda mbeya day na kurudi kupanda basi kuelekea home iyunga.

really nostalgic!!

Raymond Mkandawile said...

Mie pia sijasoma hapo..nilisoma shule moja inaitwa sinde iko makunguru karibu na lilipokuwa soko zamani ila picha hii imenipa kumbukumbu kubwa sana ya nyumbani na najua wadau wengi pia watakuwa na kumbukumbu hiyo....asante sana kwa kunitembela kibarazani kwangu kaka Mwaipopo